Recent News and Updates


KIKAO CHA KAMATI TENDAJI YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA KUTOKOMEZA KIPINDUPINDU ZANZIBAR (ZACCEP)
Yesterday

Mkurugenzi Mtendaji Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa Makame Khatib Makame akipokea taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa kutokomeza kipindupindu kutoka kwa wajumbe wa kamati tendaji ngazi za wilaya Unguja na Pemba kwa kipindi ch...Read more

MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR AZITEMBELEA FAMILIA ZILIZOATHIRIWA NA UPEPO MKALI
12-04-2023 09:04:08

Mhe. Hemed Suleiman Abdulla Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa akiwatembelea na kuwafariji wananchi walioathiriwa na upepo mkali Wilaya ya Kaskazini "A" Ung...Read more

KAMISHENI YA KUKABILIANA NA MAAFA IMETOA ELIMU KWA VIONGOZI WA MADIKO
21-03-2023 06:03:41

Mkuu wa Divisheni ya Elimu kutoka Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa Ndg. Suleiman Kh. Suleiman akiwapatia elimu viongozi wa madiko wakati wa ukusanyaji wa taarifa za utafiti juu ya hali viashiria vya majanga vinavyotokana na ma...Read more

KIKAO KAZI CHA KUFANYA TATHMINI NA KUANDAA RAMANI YA HALI YA MAJANGA ZANZIBAR
20-03-2023 07:03:38

Wadau mbali mbali wa Masuala ya Maafa wakiwa katika kikao kazi cha kufanya tathmini na kuandaa ramani ya hali ya Majanga Zanzibar.

...Read more
KIKAO CHA KUJADILI MUOLEKEO WA MVUA ZA MASIKA
13-03-2023 08:03:47

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Ndg. Salhina Mwita Ameir akifungua Kikao cha Wadadu mbalimbali wa kukabiliana na Maafa kujadili muelekeo wa Mvua za Masika 2023 na hatua za kuchukuliwa. (picha na Abubakar M. Ib...Read more

SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR INAENDELEA KUCHUKUA HATUA ZA MSINGI KATIKA KUKABILIANA NA MAJANGA ILI KUWALINDA WANANCHI NA ATHARI ZINAZOWEZA KUJITOKEZA.
21-10-2022 10:10:38

Read more

KIKAO KAZI KUJADILI MUELEKEO WA MVUA ZA VULI ZA MWAKA 2022 NA TAHADHARI JUU YA MARADHI YA EBOLA
30-09-2022 12:09:42

Mapema leo, Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Ndugu Salhina Mwita Ameri ameongoza kikao kazi cha kujadili Mwelekeo wa Mvua za vuli za Mwaka 2022 na tahadhari juu ya Ugonjwa wa Ebola kilichofanyika Ofisi za Kamis...Read more

MAKABIDHIANO YA VIFAA VYA HABARI KWA AJILI YA KITUO CHA OPERESHENI NA MAWASILIANO YA DHARURA
13-09-2022 07:09:42

Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe. Hamza Hassan Juma akipokea vifaa vya Habari kwa ajili ya Kituo cha Operesheni na Mawasiliano ya Dharura kutoka  kwa Shirika la Afya Duniani WHO  Tarehe 02 Septemba 2...Read more

KUGHAIRISHWA KWA SHUGHULI YA UZINDUZI WA VIJIJI VYA MAKAAZI YA WANANCHI WALIOATHIRIWA NA MVUA ZA MASIKA ZA MWAKA 2017, NUNGWI.
05-11-2021 08:11:59

Read more

SERIKALI ITAENDELEA KUVIIMARISHA VITUO VYAKE VYA UOKOZI ILI KUKABILIANA NA MAAFA” MHE. HEMED SULEIMAN ABDULLAH
15-10-2021 07:10:49

“SERIKALI ITAENDELEA KUVIIMARISHA VITUO VYAKE VYA UOKOZI ILI KUKABILIANA NA MAAFA” MHE. HEMED SULEIMAN ABDULLAH

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar itaendelea kuchukua tahadhari za kuwakinga wananchi  wake...Read more

JITIHADA MBALIMBALI ZAFANYIKA KUTOKOMEZA KIPINDUPINDU ZANZIBAR
04-09-2021 07:09:18

Katika kutekeleza azma ya Serikali ya kutokomeza Kipindupindu Zanzibar, Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi  Ndugu Thabit Idarous Faina ameongoza kikao cha Kamati ya Uongozi ...Read more

MADUKA KWA AJILI YA BIASHARA
01-09-2021 11:09:54

OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RA...Read more

SMZ KUJA NA MIPANGO NA MIKAKATI MADHUBUTI KATIKA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI
30-08-2021 07:08:17

Mkurugenzi Mtendaji Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa ameongoza kikao cha warsha pamoja na wadau wa kukabiliana na maafa lengo hasa likiwa ni kujadili juu ya suala la kujenga uhimili katika masuala ya Mabadiliko ya Tabia nchi. ...Read more

KAMISHENI YA KUKABILIANA NA MAAFA INA LENGO LA KUWEKA UTARATIBU MZURI WA KUKABILIANA NA MAAFA YANAYOWEZA KUTOKEA NCHINI.
25-06-2021 05:06:05

Read more

MAKAMU WA PILI WA RAIS AWAFARIJI WANANCHI WALIOPATA AJALI YA BUS ILIOTOKEA MKOANI SHINYANGA
24-06-2021 08:06:41

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa amesema serikali itaendelea kuwahudumua majeruhi waliopata ajali Mkoani Shinyanga ilitokea tarehe 02, J...Read more